Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,812
- 1,373
habari wana jf?
nina tatizo huwa nikiamka asubuhi na kwenda choon mara chache chache nakuta matone ya damu kidogo yamegandia kwenye kichwa cha uume wangu,au mara nyingne kikifanya mapenz manii kutoka na vijidamu kidogo! je? hili tatizo ni la nn? na jee linasababishwa na k2 gan?
ushaur wenu pls
Umri wako?
Kuna maumivu, muwasho? unashida yeyote wakati wa kujisaidia haja ndogo/kubwa mf. maumivu, kushindwa kumaliza haja?
- Baadhi ya maswali yanaweza kuwa personal/ya kiundani sana mf. kama ulikwisha wahi ugua magonjwa ya zinaa, mara ngapi, lini na kama ulishawahi kupata matibabu.
- Pili uwezekano wa shida ya baadae sana inayosababishwa na kichocho, iwapo uliugua zamani, kulima mpunga, kuogelea katika madimbwi na ziwa n.k
- Tatu, inawezekana madhara ya kemikali za viwandani hasa iwapo umefanya kazi kiwandani, au kuishi kutumia maji ambayo yanaweza kuwa yamechanganyikana na kemikali za viwandani!
Kuna vitu vingi vinavyoweza kusababisha matone/damu kutoka katika uume. Lakini kwa maelezo yako, inaonyesha/inaonekana tatizo ni la muda mrefu! Ningekushauri ufike HOSPITALI uonane na daktari.
Pole.
napata hisia kwamba uko exposed kwa chemicals za viwaaaandani.okey umri wangu ni miaka 24 cjawah kuumwa ugonjwa wowote wa zinaa, wala huwa sisikiag maumiv yeyote wakt wa kujisaidia.
napata hisia kwamba uko exposed kwa chemicals za viwaaaandani.
sijui kwann naona eti unafanya kazi ama kiwanda cha nguo, ana ngozi ama madini cha kufanya ndugu yangu occupational health inakuhusu zaid. nenda kamwone dr lakin pia fanya utaratibu wa kuwa na protective gears uwapo kazini.
Lakin kama hisia zangu zinaniongopea basi inawezekana una kichocho pasi kujijua....wahi matibabu haraka.
mmmh!!cfany kaz kiwandan mkuu!
mmmh!!
niambie unapokojoa sema ukweli wako unaweza kaurusha mkojo umbali gani toka ulipo simama??
je 1/2mita, 1m,3m, 1/4m??
Uwiiiiiii, kimbia fasta hospital, usije kuanza pata hedhi bure.