Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,812
- 1,373
Habari wana JF?
Nina tatizo huwa nikiamka asubuhi na kwenda chooni mara chache chache nakuta matone ya damu kidogo yamegandia kwenye kichwa cha uume wangu,au mara nyingne kikifanya mapenzi manii kutoka na vijidamu kidogo! je? hili tatizo ni la nini? na jee linasababishwa na kitu gani?
Ushauri wenu please.
Nina tatizo huwa nikiamka asubuhi na kwenda chooni mara chache chache nakuta matone ya damu kidogo yamegandia kwenye kichwa cha uume wangu,au mara nyingne kikifanya mapenzi manii kutoka na vijidamu kidogo! je? hili tatizo ni la nini? na jee linasababishwa na kitu gani?
Ushauri wenu please.