Chogotz
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 236
- 105
Habarini Za Muamko Kizazi Cha JF..
Nipo hapa kuomba msaada juu ya tatizo hili..,nimalizapo kusex na mama watoto huwa nakuta mabaki ya damu kwenye vitambaa ambavyo hutumia kujifutia japo s nyiiingi saana,huwa tunajiuliza shida ni nini?
Na hii hali hujitokeza mara moja moja...,naombeni uvumbuzi juu ya hili tatizo...
Nipo hapa kuomba msaada juu ya tatizo hili..,nimalizapo kusex na mama watoto huwa nakuta mabaki ya damu kwenye vitambaa ambavyo hutumia kujifutia japo s nyiiingi saana,huwa tunajiuliza shida ni nini?
Na hii hali hujitokeza mara moja moja...,naombeni uvumbuzi juu ya hili tatizo...