Mpaka nimeleta mada hapa sio kwamba sielewi hizo situations. Kwangu imekuwa sio kawaida na ndomana nimekuja kuomba ushaur nasaha hapaJamani huko shuleni mnaenda kusoma au kuuza sura i dought nyie watoto
kuna kitu kinaitwa vasocontrition na vasodilation
hii hutokea wakati wa joto kwa kuwa binadamu ni damu moto nikimaanisha njia ya kupoteza joto ni kupitia ngozi.joto la binadamu linapaswa kuwa centigrade 37 hivyo joto linapozidi mwili, mwili huleta damu karibu na ngozi ili kuruhusu joto kupotea
Inaonekana una nguvu sana mkuu, hautumiki ipasavyo "utani tuu lkn"Mimi wakati wa joto ndo balaa sasa. Mashati ya mikono mirefu hayanikauki mwilini