Hii ni hali ambayo unakuta mtu anakula mlo vizuri mara tatu kwa siku lakini anapitisha siku kati ya moja au tatu,bila kupata choo yani ana tatizo la kukosa choo.
Pia kupata choo kigumu kama cha mbuzi na maumivu makali ama kufikia kutoa choo kikiwa na matone ya damu,ni dalili za tatizo la kukosa choo.
Tafiti zinazonyesha kuwa mtu anaweza kupoteza uhai, endapo atakosa choo siku tano mpaka saba mfululizo.
Sababu za kukosa choo.
1.Kukosa mlo kamili ama kula vyakula vingi vyenye kiwango kikubwa cha wanga na mafuta
2.Ukosefu wa kiwango cha kutosha cha mbogamboga na matunda.
3. Kunywa maji yasiyo salama
4. Kuvuta hewa chafu
5. Mifumo hatarishi ya maisha kama matumizi ya pombe na sigara kwa wingi
6. Kula vyakula vilivyokobolewa na vilivyochanganywa madawa ili visiaribike.
Je wafahamu athari zake
1. Bacteria wenye madhara kuzaliwa na kuathiri utumbo mpana na viungo vingine.
2. Chakula kutomeng!enywa vizuri.
3. Maumivu makali wakati wa kupata choo.
4. Uchafu uliokaa mda mrefu kugeuga sumu.
Pia yaweza sababisha magonjwa sugu kama haya,
1. Presha
2. Saratani ya utumbo mpana
3. Magonjwa ya ini
4. Magonjwa ya ini
5. Tumbo kujaa gesi
6. Kuongezeka uzito
7. Kusukari
8. Magonjwa ya ngozi.
9. Figo kushindwa kufanya kazi
10. Kukakamaa kwa mishipa ya damu
Hili tatizo ni janga la wengi,na suluhisho lipo unatibiwa unapona kabisa,kama una tatizo hili,karibu upate tiba ipo ya kumaliza tatizo lako.
Kwa maswali na mahitaji no 0717556768.