Pole sana ndugu yangu, ni tatizo kubwa sana hilo kwa hivyo sio la kupuuza yaweza kuwa:
1. Redundant colon
2. Chakula ulacho ni kiasi kidogo na ni aina ambayo haina fibres so kuna kuwa hakuna wastes za kutosha kuweza kupata choo.
Suluhu:
1. Kula vyakula vyenye fibres kwa wingi mfano salads, matunda na maganda, brown rice, brown bread na dona for sometime, like a month kama hiyo hali haita change basi ufanye vipimo kama
1. Barium enema examination
2. CT Scan examination with oral contrast.
Waweza nicheki kwa suala la vipimo.