NTALYAGA
Member
- Nov 24, 2014
- 19
- 4
Ndugu wana JF habari za leo.
Mwenzenu nina tatizo la kiafya sipati haja kubwa kabisa. Ninachukua hadi siku 5 ndo napata hali ya kwenda haja kubwa lakini nikienda hata sipati haja nzuri sometimes natoa tu hewa na kama mapovu hivi.
Naomba ushauri wenu wapendwa; ni tatizo gani? Maybe naweza pata tiba humu humu kwa wanaJF wenzangu.
Asanteni.
Mwenzenu nina tatizo la kiafya sipati haja kubwa kabisa. Ninachukua hadi siku 5 ndo napata hali ya kwenda haja kubwa lakini nikienda hata sipati haja nzuri sometimes natoa tu hewa na kama mapovu hivi.
Naomba ushauri wenu wapendwa; ni tatizo gani? Maybe naweza pata tiba humu humu kwa wanaJF wenzangu.
Asanteni.