Tatizo la kuumwa na Kitovu

Tatizo la kuumwa na Kitovu

Abdalla Darwesh

New Member
Joined
May 8, 2013
Posts
2
Reaction score
0
mdogo wangu w kike anakuwa anasumbuliwa sn n kitovu, anasema kinamuuma. Akiwa shuleni mwalimu wake alimpa chai ya moto na akampumzisha na anapotulia pia hupoa kuuma. Lakini c mara moja kumtokea hili. Naomba kujua ufumbuzi wa tatizo hili.
 
Back
Top Bottom