Habarini za jioni Madaktari na Washauri mahiri wa jukwaa hili.
Naomba mnisaidie tatizo langu.
Kila ninapoamka asubuhi, hukuta uchi wangu umevimba mpaka unatisha.
Ni tatizo lililonianza takribani miezi kama 3 iliyopita.
Na hakuna maumivu yoyote nipatayo.
Na hunywea taratibu mpaka kurudi katika hali yake ya kawaida huchukua masaa 2 au zaidi.
MASWALI:
1. Ni ugonjwa?
2. Nimerogwa?
3. Kitumbua changu kina afya?
4. Kama ni ugonjwa, nielekezeni kwa daktari bingwa.
5. Kama nimerogwa nielekezeni kwa mganga mahiri.
Asanteni.
Nisaidieni jamani, naumbuka nikienda kulala kwa watu.
Yaani kitumike au kisitumike.
Asubuhi lazima nikute kimeumuka.
Wala.
Yani niko serious.
Yaani ungekiona ungenihurumia.
Da Madame B hii sasa kali ya mwaka. Mr Ben Saanane tunaomba muongozo.
Mbona unataka kuharibu shughuli.
Mume wangu unamuitia humu wa nini?
Mweeh!
Yuko kule anajenga nchi.
Mwalimu umelogwa mazima.....
... Duh! hii kali!
Kabla ya Madaktari, naomba kwanza wadau waijadili hii mada:
jamani wanaJF CC njoo huku msaidie Madame B:
- Baba V
- Nivea,
- Lisa,
- King'asti,
- AshaDii,
- MwanajamiiOne,
- afrodenzi,
- Kongosho,
- BADILI TABIA,
- Paloma,
- mwaJ,
- MadameX,
- Mamndenyi,
- Preta,
- marejesho,
- snowhite,
- Angel Msoffe,
- sweetlady,
- FirstLady1,
- FirstLady,
- Remmy,
- Zion Daughter,
- Kipipi,
- Roulette,
- Smile,
- Asnam,
- Binti.com,
- lara1,
- Mrembo by Nature,
- Raiza,
- cacico,
- gfsonwin,
- Asprin,
- Kiranga,
- Nyani Ngabu,
- Mwita Maranya,
- Don Mangi,
- Mungi,
- Erickb52,
- Mr Rocky,
- SnowBall,
- Dark City,
- Jeska,
- Lusile,
- Arushaone,
- Bujibuji,
- queenkami,
- KakaKiiza,
- Kipaji Halisi,
- Nicas Mtei,
- Ben Saanane,
- Chimbuvu,
- tedo,
- Chilli,
- Mwanyasi,
- marejesho,
- Passion Lady
- Polisi ben .......... na wengineo
Ndiyo huo niugonjwa nadawa nidushe daily hasa asubuhi!
nataka niaze kukigawa sasaEbhana e!
Sasa ukikifanyia diet kikikonda, si kitaumia shoga?
Kiache na afya yake mwaya.
madam b anaipenda papuchi yake jamani...mi yangu sijaiona siku nyingi ndo naiangalia hapa'''ni tamuje?mie magonjwa ya papuchi sikusoma kabisa. Wakati nasomea udaktari tulianzia nywele, kichwa, mikono, kifua na tumbo. Kabla hatujaanza kukistudy kiuno ada ikakata. Ikabidi niacha shule niolewe na Paw.