Tatizo la Kuvimba PAPUCHI kila iitwapo Asubuhi.

Tatizo la Kuvimba PAPUCHI kila iitwapo Asubuhi.

Status
Not open for further replies.
Sawa madame,

Je miguu nayo inavimba?

Ni vizuri kwenda kuchack pressure na lab tests za ini, figo na madini mwilini.

Inawezekana pia hizo zikawa varix ambazo mara nyingi hutokea kwenye miguu lakini zinaweza pia kutokea sehemu nyingine. Ili kujua kama ni zenyewe au sio inabidi mtaalamu azione. Dawa yake huwa ni venotonic agents.

Kwa sasa ninakushauri upake heparin gel kabla ya kulala na asubuhi. Hii itasaidia damu isigande iwapo kuvimba kunasababishwa na mkusanyiko wa damu.

Ngoja wataalam wawili tushee ujuzi hapa.

Mkuu ZeMarcopolo, mimi nafikiri umeongea more mechanical bila oil. Mimi navyojua hot post huwa inavimba ikiwa teased. Damu hujaa pale baada ya ZeHamu kutokea. Sasa labda tufikirie factors zinazoleta msisimko kwa bibie asubuhi. Anachotakiwa kuexperiment ni kama ikivimba halafu akapigwa mpododo je huwa inanywea?

Ikiwa ninachokiwaza kitakuwa kina mantiki, basi nina mashaka kama atakubali tiba, maana inakemewa sana kule kanda ya ziwa na Dodoma, Singida na Kilimanjaro
 
Last edited by a moderator:
Jamani.
Kinaanza kuumuka.
Uwiii...!!!
My Huz uko wapi?
 
Puchipuchi ikivimba hivyo ni dallili inahitaji dudu. :majani7::majani7::majani7:
 
:twitch::twitch::twitch: Dah! we ni mwisho lol! hahahahah

Jamani BAK, wewe si ndio umenikumbusha kuhusu dudu nene.
Nalililia pengine papuchi itanywea.
 
Last edited by a moderator:
Naaaaaahhh! I did not say that :smokin:

BAK yaani hapo kwa red ndio ugonjwa wangu.
Nayapendaje jamani BAK.
Heri nisile, lakini ni..we.
Ila papuchi imenitia dosari.
Doh!
Ila ngoja nigonge kichwa.
 
Last edited by a moderator:
Anawadolishia tu. Mi mwenyewe yangu nikiishika tu najionea wivu. Tatizo ya Madame B ina masahibu kama kitumbua cha mayai!
madam b anaipenda papuchi yake jamani...mi yangu sijaiona siku nyingi ndo naiangalia hapa'''ni tamuje?
 
Last edited by a moderator:
Kwa raha zako.... usicheze mbali na nanihii maana nonino haipendi mateso kiasi hicho, ndio maana ikawa inajitutumua kutaka kuuliza ni aje!?

BAK yaani hapo kwa red ndio ugonjwa wangu.
Nayapendaje jamani BAK.
Heri nisile, lakini ni..we.
Ila papuchi imenitia dosari.
Doh!
Ila ngoja nigonge kichwa.
 
Kinaumukaga uthiku kwi kwi kwi.
Mwagia maji ya baridi mndele. Au nimuambie Paw aje kutoa msaada manake huyo mwanasihasa wako nae atakuua na maradhi. Kama BAK anagoma kutoa msaada sema shemeji yako aje mndele, usife na tai shingoni.
Jamani.
Kinaanza kuumuka.
Uwiii...!!!
My Huz uko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Anawadolishia tu. Mi mwenyewe yangu nikiishika tu najionea wivu. Tatizo ya Madame B ina masahibu kama kitumbua cha mayai!

Umeonae e mndele King'asti.
Yaani hapa ilipo ipo kama lababendi.
Inavutika size ya mpira wa manati mndeleg
 
Last edited by a moderator:
Anawadolishia tu. Mi mwenyewe yangu nikiishika tu najionea wivu. Tatizo ya Madame B ina masahibu kama kitumbua cha mayai!

Umeonae e mndele King'asti.
Yaani hapa ilipo ipo kama lababendi.
Inavutika size ya mpira wa manati mndele
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom