Uko wapi nikutumie dawa bora ambayo utaleta mrejesho hapa?Habarini.
jamani mwenzenu nina tatizo hilo la kutoa harufu mbaya kinywani kusema kweli linaninyima raha kabisa hapa majuzi nimemaliza kutumia mouth wash moja inaitwa MEDI-ORAL nilifikiri ingemaliza tatizo lakini naona bado.
Tafadhalini naomba msaada wa nini nifanye/kutumia ili niondokane na tatizo hili, kusema kweli linaninyima uhuru wakati wa mazungumzo.
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] na wanavyopenda kuongea sasaWapo wengi tu humu wanuka midomo ila hawajijui
Maisha bila unafiki hayaendi kwakweli
Aii wewe bomba lawapi fafanua kidogoJaribu kwenda kupigwa bomba
Acha tu ngoja tunyamazee waendelee kunuka haswa hiyo midomoHahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] na wanavyopenda kuongea sasa
Hahaha [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] usinivunje mbavuAcha tu ngoja tunyamazee waendelee kunuka haswa hiyo midomo
Hehehehehe kazi kubwwaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sina uhakina na huko kama vinaenda pamoja mbona kazi sasa?
Kinachofuatwa si nikukimbiwa tu jamaniHehehehehe kazi kubwwaa
Mam sabrina ukorofi wanini sasa ebu nikee doti plz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapo wengi tu humu wanuka midomo ila hawajijui
Maisha bila unafiki hayaendi kwakweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]Wapo wengi tu humu wanuka midomo ila hawajijui
Maisha bila unafiki hayaendi kwakweli
Naweza kukubaliana nawe hasa kwenye hiyo point.Tatizo laweza kuwa sio kinywa tatizo linaweza kuanzia tumboni unakojaza vyakula visivyosagika kirahisi na matokeo yake vinaoza na kushindwa kutoka kwa njia ya haja kubwa hivyo unabaki kutembea na choo tumboni na harufu kutokea kinywani.
Najuaga hii inatakatisha meno kumbe ata kutoa harufuTumia bicarbonate of soda au baking soda na limau
weka bicarbonate kijiko kimoja kwenye kikombe then kamulia limao
tumia mswaki kusugulia meno kwa mda wa wiki 2...hua inaondoa kabisa harufi
Ndio mkuuNajuaga hii inatakatisha meno kumbe ata kutoa harufu
Umesema kweli kabisaTatizo laweza kuwa sio kinywa tatizo linaweza kuanzia tumboni unakojaza vyakula visivyosagika kirahisi na matokeo yake vinaoza na kushindwa kutoka kwa njia ya haja kubwa hivyo unabaki kutembea na choo tumboni na harufu kutokea kinywani.
Kama unakula vyakula vigumu kusagika tumboni kama nyama na vyakula vyenye gesi nk.tafadhali acha sasa fanya hivi asubuhi kunywa maji ya uvuguvugu halafu ufanye mazoezi kidogo hata ya kuruka kamba baada ya muda utapata choo na mchana kula chakula chepesi na usiku baada ya muda hilo tatizo litaisha.
Pia nyama ngumu zinazonasa kwenye meno sometimes zinaoza na kusababisha hiyo shida possibly matatizo chanzo chake kinasababishwa na hayo mambo mawili.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mam sabrina ukorofi wanini sasa ebu nikee doti plz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njia sahihi ni kulamba nyuma ya kiganja/ kiwiko cha mkononi Halafu nusa Ndio kipimo pekee kujua harufu itokayo mdomoni Kwako[emoji23] [emoji23]Aisee pole sana ndugu.
Swali lingine, hivi utajijuaje kama unatoa harufu mdomoni, manake unaweza jitamba unaongea sana kumbe unatoa harufu mdomoni halafu hujui.
Njia sahihi ya kujua kama unatoa harufu mdomoni wewe mwenyewe ni zipi jamani???