Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Aache tabia pia ya kunyonua misambwanda,ndiyo huleta fangasi.mkuu alipona kabisa huo ugonjwa wa mdomo?? Hilo tatizo halikurud tena baada ya mda ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aache tabia pia ya kunyonua misambwanda,ndiyo huleta fangasi.mkuu alipona kabisa huo ugonjwa wa mdomo?? Hilo tatizo halikurud tena baada ya mda ?
Ahsante kwa ushauriTATIZO LA HARUFU MBAYA MDOMONI
Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo la kuwa na harufu mbaya mdomoni
hali inayopelekea kukosa mahusiano mazuri na watu kama vile kuchukiwa
na wapenzi wao mpaka kupelekea kubunjika kwa mahusiano yao, marafiki, na watu wengi wa karbu.
KINACHO SABABISHA HARUFU MBAYA MDOMONI
Kutokuwa makini na usafi wa kinywa kwa kupiga mswaki vizuri kunakoacha mabaki ya chakula ambayo huoza na kusababisha harufu mbaya mdomoni.
Maana Wengi wetu hupiga mswaki haraka haraka na kuacha mabaki ya chakula.
Mabaki hayo uoza na kuzalisha bakteria ambao ndo chanzo cha mdomo kunuka.
NINI UFANYE ILI KUEPUKA HARUFU MBAYA MDOMONI??
Kuna njia za kawaida na rahisi sana unazoweza fanya ili mdomo wako usiweze kunuka
1. KUNYWA MAJI MENGI
Maji ni muhimu sana karibu kila eneo la mwili wa binadamu. Unywaji wa maji ya kutosha kila siku utakusaidia kudhibiti na hatimaye kuondoa tatizo la kunuka mdomo. Unywaji wa maji mengi ni muhimu, hasa kwa wale watu wenye ugonjwa wa kukauka midomo.
2. TUMIA MATUNDA KAMA VILE APPLE, TANGO NA PERA.
Matunda kama haya yanaongeza mate mdomoni na kuzuia uwepo wa bacteria ambao husababisha harufu mbaya. Kula kipande cha tango au apple hasa baada ya chakula. Pera husaidia wale wanaotoka damu kwenye fizi pia.
#KumbukaHii
Mara nyingi harufu itokayo mdomoni, hutokea tumboni na siyo kinywaji peke yake kama unavyoweza kudhani. Hivyo, kama tumbo litakuwa chafu, hata kama utasafisha kinywa vizuri bado harufu mbaya inaweza kuendelea kutoka. Harufu mbaya ya tumboni hutokea pale tumbo linapokuwa chafu kutokana na kutopata choo kwa muda mrefu. Miongoni mwa mambo yanayochangia kukosekana kwa choo kwa muda mrefu ni pamoja na tabia ya kutokunywa maji ya kutosha kwa siku, hivyo hakikisha unakunywa maji ya kutosha.
Lakini wengi wamejaribu njia mbali mbali kuondoa tatizo hilo lakin wameshindwa
Ila bado msaada upo.
Wasiliana nasi kwa msaada wa tatizo lako kama linakusumbua au limekusumbua kwa mda
Mrefu.
Sms/Call/Whatsapp +255 653216061
Tunajali na kusamini afya yako
Ni kweli kabisa [emoji120]Wakuu sababu kubwa za kutoa harufu mbaya kinywani ni kana zifuatazo
_kutosafisha ulimi wakati wa kupiga mswaki
_meno yaliyo toboka au yaliyoza mdomoni
_magonjwa ya mfumo wa mmengenyo wa chakula
-magonjwa ya mfumo wa upumuaji
_infection/au usaha eneo la nyuma ya kinywa(faucial and tonsilar region)
_Sababu nyingine ni ugaga wa meno(calculus),uvimbe mdomoni,vidonda n.k
Namna ya kuondokana na hili tatizo
_piga mswaki,kwakutumia dawa ya meno walau mara mbili kwa siku...kumbuka kusafisha ulimi mwishoni
_kama una jino lenye tobo/au limeoza nenda kamuone daktari wa kinywa na meno .....kuna kuziba meno,kusafisha meno na mengine mengi.
_matatizo ya mfumo wa upumuaji na mmengenyo wa chakula,nenda kamuone daktari...upate matibabu
_kwa infection kwenye tonsillar region, onana na daktari wa kinywa na meno upate matibabu...
Naomba uniaunganishe mkuuMkuu nitafte nikuunganishe na mtaalam wa kinywa, ana dawa nzuri sana na utaleta mrejesho.
Dawa yake 100% ni mitishamba na ameitafiti kwa miaka 5 kwa kushirikiana na Daktari toka Usa.
Wameipaki vizuri mno.
Mimi nilipatwa na tatizo la meno kuwasha sana, nilitumia siku 3, tatizo lilikoma sasa ni mwaka.
Kuna watu waliokuwa na matatizo ya midomo kunuka sana, wengine meno kuoza hiyo dawa imewaponya.
Mkuu naomba nifafanulie hapa hlf nikuambie kitu cha kufanyamahusiano yangu yanayumba.
Asante sanaPole sana kijana, hapo kweli mahusiano lazima yayumbe.
Sijui nielezee vipi ila tambua kwenye mahusiano yangu kiukweli ninapitia kipindi kigumu sana imefikia hatua hata mpenzi niliye naye sasa ameanza kunichoka uvumilivu umemshinda anahitaji tuvunje mahusiano yetu.Mkuu naomba nifafanulie hapa hlf nikuambie kitu cha kufanya
Asante sana kwa ushauri wako bossukitoa ushauri utakaokuja unaweza kuwa unatembea na mint unatafuna kipande kidogo muda mrefu ile huacha harufu nzuri muda wote unaotafuna...
Sent using Jamii Forums mobile app
Polee! I feel it.sijui nielezee vipi ila tambua kwenye mahusiano yangu kiukweli ninapitia kipindi kigumu sana imefikia hatua hata mpenzi niliye naye sasa ameanza kunichoka uvumilivu umemshinda anahitaji tuvunje mahusiano yetu.
Ndugu Asante sana na Mungu azidi kukubariki .Polee! I feel it.
Hakikisha unasugua ulimi vizuri na si meno tuu. Ulimi unachangia sehem kubwa kuwa na bacteria wanaosababisha harufu mbaya ya kinywa. Ziko dawa za kinywa nzuri..ntakupa jina lake badaye...