Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui mgonjwa ana umri gani, maana mpaka anakuja kuomba msaada hapa, inaonyesha kabla, hakuwa na tatizo hilo, je unadhani amebadilisha namna ya upigaji mswaki.Kuna watu wanaswaki lakini wanaishia kusugua meno tu, ulimi anaacha,, sugua ulimi kwelikweli tena pale katikati karibia kooo
Nje na mada..Punguza kula vyakula vya wanga/Carbs na sukari kwa ujumla
YeeeeeehOohh... rolimodo😉
Ni mwanamitindo ee
Yeeeeeeh
Pole sana ndugu, Mimi mwenyewe nina tatizo kama lako nimedumu nalo takribani mwaka wa 4 sasa ila nimekuja kugundua chanzo ni kutokupata choo (vidonda vya tumbo) ndiyo chanzo na siyo kingine nilichoamua kufanya ni kubadili utaratibu mzima wa kula.Jamani naomba msaada tiba au dawa gani inatoa harufu mbya mdomoni maana kma mswaki napiga tena sana ni tatizo la muda sana miaka miwili sasa. Nimetumia dawa mbalimbali lakini tatizo bado haliishi, mdalasini asali karafuu nimetumia sana lakini hakuna mabadiliko colgate, forever living , aloevera lakini bado hazisaidii.
Naomba msaada hata wa mawazo jamani siyo dhihaka mswaki napiga sana hata Mara 4 kwa siku lakini bado kunuka mdomo uko pale pale
Ni kweli. Sio kila harufu ya kinywa inakuwa initiated katika eneo la kinywa.Sidhani kama kupiga mswaki ni suluhisho tosha la hili swala.Ningependa kujua kama kuna dawa yoyote itakayo tumika katika kulidhibiti tatizo ili la kunuka mdomo.
Tafadhali msaada wenu.
Ndugu nisaidie kufahamu hiyo dawa naweza kuinunua hata leo. NisaidieNi kweli. Sio kila harufu ya kinywa inakuwa initiated katika eneo la kinywa.
Kuna harufu inatokea kooni na chanzo ni kutokea katika njia ya chakula au utumbo.
Hii huwa inatokana na matatizo kama kutopata choo kwa muda mrefu, hivyo zile taka mwili huwa zinaendelea kuwapo katika utumbo na kutoa harufu kali sana ambayo hurudi kinywani.
Dawa hapo ni dawa fulani jina limenitoka ambayo unakunywa usiku wakati wa kulala.... Balaa lake asubuhi..... Utakaga gogo refu na zito kama haujawahi kukata gogo maisha yote..
Nitakuelekeza ambapo inapatikana.Ndugu nisaidie kufahamu hiyo dawa naweza kuinunua hata leo. Nisaidie
Pole mkuuMiaka kumi sasa nanuka mdomo dawa mbali mbali nimetumia sana kienyeji pia za hospital mouthwash mswaki naujua sana meno meupe sana lakni hali bado tete kama kuna mtu alishawahi kupata hili tatizo na akapona basii nahitaji msaada pia hospitali gani bingwa ya kinywa naweza pata tiba ya vizuri NDUGU ZANGU
Hii hali inanisumbua kuna kamasi linashuka kutoa kwenye tundu za pua kuja kwenye koo likiwa na harufu kali, wakati mwingine linatoka puani likiwa na harufu kali sana.Au kuna uwezekano ana kamasi (sinus) zinasababisha kunuka mdomo pia