Hili suala lilishawahi kufafanuliwa na wataalamu mara nyingi, huwa inasababishwa na kulala vibaya kiasi kwamba kuna kuwa hakuna mawasiliano let say kutoka kichwani kwenda miguuni au mikononi, ndio maana ubongo unaamrisha mkono unyanyuke, ila inashindikana kwa sababu hakuna mawasiliano, ni suala la kibaiolojia.