Tatizo la kuwahi kufika kileleni ni ugonjwa au?

Tatizo la kuwahi kufika kileleni ni ugonjwa au?

mbasajohn

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2009
Posts
247
Reaction score
39
Kuwahi kufika kileleni ni ugonjwa au ni nini na nini tiba yake?
 
Co ugonjwa kvile, lkn pata ushauRi kwa marfk wako ama vunja ukimya na mwenzio.
 
ungetaja muda ungesaidiwa,kuna wa dakika 3,kuna wa nusu saa.
 
muda w nini kaka au jinsi inavyokuwa kwakweli ni ndani ya one minutes kwa first round na ndani ya three minutes kwa second na zinazofata
 
mpaka nimekuja kwa wanajamii nishavunja ukimya lakin wap
 
muda w nini kaka au jinsi inavyokuwa kwakweli ni ndani ya one minutes kwa first round na ndani ya three minutes kwa second na zinazofata
Duh tatizo ni kubwa hapo unamchafua tu mtoto wa watu,wanawake wanahitaji at least robo saa kufika safari, kuna delay spray inauzwa pharmacy unapulizia kwenye kichwa cha mkia itakusaidia kuchelewa mpaka utakapojiamini.
 
nataka maujanja yenu bwana. Na hapa sitoki hata lije tinga tinga.
Naona wewe na Shosti mmekuja na magodoro kabisa kwenye thread hii hahaha! Nafahamu hamuwezi kukubali eti mechi iishe dakika 1-3 ndio maana nimempa ufumbuzi at least atapiga danadana dakika 15-20 lol!
 
Back
Top Bottom