Kasema dakika 1 akichelewa sana 3 na mwanamke anahitaji sio chini ya dakika 10-15 kwahiyo chini ya hapo unakimbiwa au kukwepwa kwenye gemu(ooh nimechoka,naumwa kichwa,na usingizi n.k. )
Dakika moj??? duh!
sasa hapa kuna tatizo.........kwanza aache mchecheto!!
Lakini issue sio kulast longer, its about kupeana na kufikishana.
Halafu we jamaa wewe, uwe unakula vizuri na kucheza soccer kidogo bana!!
Kama mkoloni wako anakufrastrate jifunze kumu-ignore
Usiwe mbinafsi, muwaze mwenzio pia, mkiwa kwenye game, waza kunrizisha mwenzako, usiwaze ku-score wewe...ukijifunza kuhamisha mawazo, sikiliza sauti yake, acha kugugumia tuu kama unataka kufa. Sikiliza kama anafurahia, muulize, kama vipi badili style, a litle bit of distraction huwa inaongeza hashki na muda wa kufikia mshindo.
Important: msikilize mwenzako, ukifanya hivyo utaacha kufocus kwenye kujiridhisha, utafocus kwenye utamu unaompa instead of utamu unaopata!. Ukishaona sasa anafika, switch to your balls...you will need less than 20 sec kujikuta unafikia mshindo...that way, mtafika kwa pamoja.
Sawa Kijana? ikikusaidia urudi kutoa shukrani!!!