Tatizo la kuwashwa mwilini baada ya kuoga: Fahamu chanzo, ushauri na tiba

Sema wabongo tuna ka uchawi flani cha asili,,,yaaani mtu anakazania kabisa eti anashukuru Mungu hayuko mwenyewe,jins unavyoteseka ukiona na mwenzio anateseka ndio unafurah.?
Sijashukuru kwa kufurah ndugu bali nmejiona co mtengwa wa tatizo hilo
 
Jerv
Jee wewe umepona tayarii
 
Kuna dawa naijua unachemsha unaogea unajifukiza Kama unataka nipigie au njoo dm nkupe namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…