Mimi ni medical student na pia ni muathirika was tatizo hilo. Nilianzwa na tatizo hilo nikiwa kidato cha kwanza mwaka 2005 na ilikua sababu kubwa ilionipelekea kupata hamu ya kusoma udaktari kwan nilihangaika vya kutosha.
Tatizo hilo linaitwa urticaria linaweza kua acute or chronic na linasababishwa na uzalishwaji wa chemically iitwayo histamine kwa wingi ambayo pia husababishwa na pressure, coldness, n.k Tiba sahihi ya matatizo haya ya allergy inapatikana kwenye clinic za magonjwa ya ngozi yan dermatology department ambako kuna madaktari bigwa yan specialists kwa ajili ya ngozi tu hawa ndio wanaweza kukupa tiba sahihi.
Kwa DSM tembelea hospital ya muhimbili jengo la wagonjwa was nje (new OPD). kanda ya kaskazini tembelea hospitali ya KCMC kitengo cha dermatology.