Tatizo la kuwashwa mwilini baada ya kuoga: Fahamu chanzo, ushauri na tiba

aisee nilijua nipo peke yangu kwa hili tatizo yani mwenzenu najikuna miguu na mapajani mpaka nakuwa mwekundu kila nikioga maji ya bomba na ya mvua

nikiwa dar na moshi siwashwi hata maji ya bahari siwashwi nimejaribu ya kisima siwashwi ila tofauti kuna baadhi ya kisima kingine yananiwasha mpaka sina raha ya kuoga natamani hata kulia ikifika muda wa kuoga

na hali hii inazidi asubuhi kukiwa na ubaridi ukijaribu kuoga mchana hauwashwi sana

huwa nameza prednisolone kidonge 1 nikitoka tu kuoga japo ukitoka kuoga ukinywa maji yanaongezea kuwashwa ukikanyaga mchanga ndo kabisa au ukijifutia nguo mbichi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm tatizo hilo limenikuta ssna ila nikaja kugundua kuwa ni aina ya maji ninayo yatumia.nikiogea maji ya mvua nawashwa sana mwili...ila nikiogea maji mengine tuu mwili unakuwa shwar sana..sometime naona ni aleji ya aina fulani ya maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Doctor Aghakhan aliniambia inaitwa AQUAGENIC PRURITAS, ipi ni ipi??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo ukiyaonaga maji unakosa raha hata kama ni maji ya kunywa
 
Kuna dada alisumbuliwa na shida hiyo
Lakini alivyo acha pombe akapona
Naye alikuwa ni mlevi haswa siyo mchezo!
Mimi nisipo kunywa pombe ndo huwashwa mwili wrote mpaka hapa naaandika lkn nawashwa tuu nikinywa tu baasi tatizo hakuna hii inanikera sana has a wakati wa usiku ndo huwa silali kabisa nakesha tuuu ama nikishiba sana muwasho hupungua na tumbo huunguruma sana pia hujaaa gesi hivyo hupelekea kujitapisha kabisa na nikinywa pombe haja kubwa hutoka ya kawaida Ila. Nisipokunywa haja hutoka muharisho

Samahani kwa muandiko mbaya ila naombeni ushauri
 
Daaaah yaan tatizo lako ni Kama langu...sijui dawa yakeee ni Nini
 
Daaaah yaan tatizo lako ni Kama langu...sijui dawa yakeee ni Nini

Minyoo sugu, Tumia dawa ya minyoo Zentel. Kunywa Chupa moja asubuhi kabla ya kula. Then Tumia tena baada ya siku 7.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Hiyo skin allergy. Miye ni asthma ya ngozi, napatwa sana na hiyo shida. Oga maji moto yanayochoma mwili kila uogapo, hata kama kuna joto. Ukioga maji baridi, utawashwa zidi. Usisugue mwili kabisa. Oga kwa sabuni za mche za kufulia nguo. Au tumia dermatologically tested shower gel.

Meza antihistamine, paka mafuta yasiyo na harufu...vaseline blue seal, Johnsons baby oil. JD Pharmacy wana choice kubwa kwa ajili ya sensitive skin...shower gels, lotions etc.
Pole sana.
 
Usiku mwema kwenu madactari wa jamii forums

Nimekua napata miwasho ,.ambayo nikiikuna inatoa ngozi nyeupe ukanda wa kiunoni

Sijajua Ni Nini na Ni kiunoni tu sio mahari pengine

Ahsanten

kelphin kepph
 
kelphin kepph,
Angalia sabuni unayoogea acha kutumia na shuka ulozoea maji ya kuoga pia kama yamekaa muda mrefu acha kutumia iache uone hali itabadilika?
 
Uko sahihi....kwenye kujifuta ndiyo shida.. sponging uko sahihi..
 
Okay, wakuu kicha cha uzi hapo juu kinahusika.

Iko hivi, nina changamoto ya kuwasha wote kila baada kwenda kukoga.
Sasa hali hii imekua ikinisumbua kwa muda sasa, hivyo naombeni ushauri wenu kama kuna mtu ambae ameshawahi kupitia changamoto kama hii ninayopitia mimi.

Ili niweze kuiepuka maana imekuwa kero sasa.

Uzi tayari
 
Laana hizo zinapuputika unaonekana ulikuwa hauna adabu kwa wazazi na jamii yako

Ingekuwa kijijini huko mkoani wangekwambia hivyo



Ila professional zaidi ni vyema ukaenda hospitali pia ukute maji yana kitu ambacho Ni allergy kwenye mwili wako


Sometimes kuwashwa sana pia ni moja ya associated side effects or symptoms ya allergy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…