Okay, wakuu kicha cha uzi hapo juu kinahusika.
Iko hivi, nina changamoto ya kuwasha wote kila baada kwenda kukoga.
Sasa hali hii imekua ikinisumbua kwa muda sasa, hivyo naombeni ushauri wenu kama kuna mtu ambae ameshawahi kupitia changamoto kama hii ninayopitia mimi.
Ili niweze kuiepuka maana imekuwa kero sasa.
Uzi tayari
Hmmm!, kwa hiyo mkuu nifanyaje sasa ili nisiwe ninawashwa mwili baada ya kuoga?Una aleji na maji
Lakini mkuu mbona mimi sio mtu wa mawazo kiasi hichoHii inatokana na kuwaza sana,stress.
Iliwahi kunitokea Mimi pia.
Inawezekana una allergy na maji.Lakini mkuu mbona mimi sio mtu wa mawazo kiasi hicho
Kama nina allergy na maji, na maji ni muhimu na ni lazima kuyatumia, duuh kazi ipoInawezekana una allergy na maji.
Ilinisumbua sana ndo daktari akaniambia hvyo.
Duuh, pole sana mkuuPole sana mkuu kwa hali hiyo. Mimi nilisumbuliwa na hali hiyo kwa muda wa zaidi ya miaka kumi. Ilikuja kuacha baada ya kuanza kuoga maji ya uvuguvugu na kuacha kujisugua na vitu kama dodoki au jiwe isipokuwa miguuni tu. Pia nikioga nahakikisha nakuwa sehemu yenye joto la kutosha. Aisee hiyo hali inasumbua sana. Solution kamili mpaka sasa sijaipata maana bado hiyo hali haijaacha kabisa
Hiyo hali ilkuja kuisha yenyewe sikumbuki iliishaje,by the way unaogaga maji baridi ama warm?Kama nina allergy na maji, na maji ni muhimu na ni lazima kuyatumia, duuh kazi ipo
Kwa hiyo mkuu kuanzia uoge maji ya moto hiyo hali iliondoka kabisa?Pole sana mkuu kwa hali hiyo. Mimi nilisumbuliwa na hali hiyo kwa muda wa zaidi ya miaka kumi. Ilikuja kuacha baada ya kuanza kuoga maji ya uvuguvugu na kuacha kujisugua na vitu kama dodoki au jiwe isipokuwa miguuni tu. Pia nikioga nahakikisha nakuwa sehemu yenye joto la kutosha. Aisee hiyo hali inasumbua sana. Solution kamili mpaka sasa sijaipata maana bado hiyo hali haijaacha kabisa
Pole sana ndugu, JARIBU KWENDA KUPIMA LIVER TEST FUNCTION, inaweezekana hepatits A, B, C. n.k, pamoja na figoOkay, wakuu kicha cha uzi hapo juu kinahusika.
Iko hivi, nina changamoto ya kuwasha wote kila baada kwenda kukoga.
Sasa hali hii imekua ikinisumbua kwa muda sasa, hivyo naombeni ushauri wenu kama kuna mtu ambae ameshawahi kupitia changamoto kama hii ninayopitia mimi.
Ili niweze kuiepuka maana imekuwa kero sasa.
Uzi tayari
Figo tena jamaniHii ni mojawapo ya dalili za figo kushindwa kufanya kazi.
Waone wataalam wakikague uzima wa figo zako.
Kuoga ni muhimu mkuu