mkali wa sound
Member
- Jan 30, 2015
- 6
- 2
habari waungwana;
Napenda kujulishwa kwamba kuna madhara gani ya kutoa damu mwililini pindi inapokua imezidi kiwango cha kawaida? Na kama kuna njia mbadala ya kutatua tatizo hili naomben kujulishwa tafadhali.
Ahsanten.
Napenda kujulishwa kwamba kuna madhara gani ya kutoa damu mwililini pindi inapokua imezidi kiwango cha kawaida? Na kama kuna njia mbadala ya kutatua tatizo hili naomben kujulishwa tafadhali.
Ahsanten.