Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni Dalili za ugonjwa wa kisukariNawasalimu kwa ujumla wenu...kama heading inavyojieleza... nlikuwa naomba kwa wale wanaojua chanzo cha tatizo na tiba yake....nina wik moja hapa mdomoni kuna ladha ya chumvi..nlijaribu kwenda hosptal ila sioni msaada kwa tiba nliyotumia
Duu..ila nmeenda juz wamenambia uric acid ipo juu..wamenipa dawa...ni kama imekata ivHizi ni Dalili za ugonjwa wa kisukari
Pima sukari au kiwango cha acid mwiliniNawasalimu kwa ujumla wenu...kama heading inavyojieleza... nlikuwa naomba kwa wale wanaojua chanzo cha tatizo na tiba yake....nina wik moja hapa mdomoni kuna ladha ya chumvi..nlijaribu kwenda hosptal ila sioni msaada kwa tiba nliyotumia
Kipomo cha acid kipo juu..ndo wamenipa dose iv natumiaPima sukari au kiwango cha acid mwilini
IlaDuu..ila nmeenda juz wamenambia uric acid ipo juu..wamenipa dawa...ni kama imekata iv
Badili mtindo wa maisha na chakula siwezi kukudanganya hiyo ni kisukariKipomo cha acid kipo juu..ndo wamenipa dose iv natumia
Nazingatia diet sanaa mkuu..hasa matunda sina shaka kwa hilo...nlpima uric acid wakanambia ipo juu..na kwl hata miguu na kweny viungo kuna muda vinauma..tangia nitumie dawa hyo hali imeisha..sidhan kama ni kisukar maana ukizngatia kote nipo oky kwan mi ni mtu wa mazoez sanaaIla
Badili mtindo wa maisha na chakula siwezi kukudanganya hiyo ni kisukari
Malimao na tangawizi na garlic yes vinapambana na covid lakini ukizidisha vinakutendaKipomo cha acid kipo juu..ndo wamenipa dose iv natumia
Duuhh...mi nakula sanaa tangawizi mbichi..huwa zinapandisha acid mkuu?Malimao na tangawizi na garlic yes vinapambana na covid lakini ukizidisha vinakutenda