Tatizo la maadili ya Gavana Ndulu na kisa cha Lazaro

Tatizo la maadili ya Gavana Ndulu na kisa cha Lazaro

Ndiyo.. Ndulu hana tofauti na Ballali.. japo watawala wanataka tuamini kuwa wana tofauti!. Wenyewe wanasema "mbona tumebadili lebo.. ilikuwa inasema sumu sasa tumeweka inasema maziwa".. tunawauliza "mbona hamkubadili kilichomo ndani?" wao wanasema ati tunataka kuleta mgawanyiko!!
 
Ndiyo.. Ndulu hana tofauti na Ballali.. japo watawala wanataka tuamini kuwa wana tofauti!. Wenyewe wanasema "mbona tumebadili lebo.. ilikuwa inasema sumu sasa tumeweka inasema maziwa".. tunawauliza "mbona hamkubadili kilichomo ndani?" wao wanasema ati tunataka kuleta mgawanyiko!!

katika thread moja Kiranga aliuliza kuwa ...does TZ have a president.
Nitafurahi siku akipatikana dictator Tanzania, hata kama ataua watu wazima wote nami nikiwemo ili kusafisha kizazi na kuanza na kizazi kipya.
 
Back
Top Bottom