At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Jambo wapendwa wa jamii forum. Ni matumaini yangu mko poa wote, kwa wenye changamoto nawaombeeni kwa Mungu awafanyie wepesi.
Moja kwa moja kwenye mara. Karibuni nimekuwa nikipata uzoefu mbaya katika utumiaji wa simu yangu. Iko hivi mara kwa mara nikiwasha simu kama ilikuwa imelala imekuwa ikileta mistari mistari au kama kujirudia rudia kwa chochote kionekanacho kwa kioo, kunakuwa na rangi ya grey, ila baada ya muda kunakaa sawa.
Nimejaribu kusolve kwa njia tofauti lakini tatizo halijaisha, nilifanya update ila mambo Bado.
Kwa yeyote anaeweza kufahamu chanzo cha tatizo na njia ya kutatua naomba anisaidie nimekwama.
NB: Simu ni Redmi 12C ina miaka 2 kasoro. Ila mwaka Jana mwezi wa 9 ilipata mpasuko kidogo. nimeendelea kuitumia vivyo hivyo, sijaiweka screen protector wala cover.
Msaada Kwa yeyote afahamuye. Natanguliza shukurani.
Moja kwa moja kwenye mara. Karibuni nimekuwa nikipata uzoefu mbaya katika utumiaji wa simu yangu. Iko hivi mara kwa mara nikiwasha simu kama ilikuwa imelala imekuwa ikileta mistari mistari au kama kujirudia rudia kwa chochote kionekanacho kwa kioo, kunakuwa na rangi ya grey, ila baada ya muda kunakaa sawa.
Nimejaribu kusolve kwa njia tofauti lakini tatizo halijaisha, nilifanya update ila mambo Bado.
Kwa yeyote anaeweza kufahamu chanzo cha tatizo na njia ya kutatua naomba anisaidie nimekwama.
NB: Simu ni Redmi 12C ina miaka 2 kasoro. Ila mwaka Jana mwezi wa 9 ilipata mpasuko kidogo. nimeendelea kuitumia vivyo hivyo, sijaiweka screen protector wala cover.
Msaada Kwa yeyote afahamuye. Natanguliza shukurani.