Sadikii herbalist
Member
- Jun 19, 2020
- 25
- 20
Pole Sana. Karibu upate tiba ya moja kwa moja na utathibitisha kwenye vipimo. Pia mie si Masai.Mkuu unaweza saidia kupatikana kwa hyo mmasai wa dawa ya ulcers?
griesofulvin tabs 500mg OD
Ukimumwa huo muda ni mchache sana.Mtu anywe dawa miezi 6?duhh
Mhhh navyojua mbona kuna tiba za wiki moja tu baada hapo uwe msafi/mkavu muda woteUkimumwa huo muda ni mchache sana.
Mtu anywe dawa miezi 6?duhh
Mhhh navyojua mbona kuna tiba za wiki moja tu baada hapo uwe msafi/mkavu muda wote
Haina madhara kuitumia muda mrefu hivyo?
Naona heri kuboresha 'lifestyle' kwa ujumla for the long run
Hapa kwa usahihi ni bora ule vyakula vinavyoleta vitamini B's mwilini, B1, B2,B5,B6,B12 nk.
Inanywewa ikiwa ya moto, vuguvugu ama kawaidaTunauita kivumbas au mbarakuva unatibu maumiv ya tumbo la hedhi kwa nyongeza.
Dawa hii inatibu na kifua piaKwa wale ambao wamekuwa wakihangaika kutibu tatizo hili bila kupona na dawa za hospitalini za kutibu fangasi zimekuwa na gharama sana na pia kushindwa kutibu vizuri tatizo hili tajwa hapo juu.
Dawa nzuri ya asili ni hii hapa.
Chemsha na maji na kunywa kikombe kimoja asubuhi na usiku wakati wa kulala kikombe kingine
View attachment 1288552
View attachment 1288553
Mimi najua unaitwa mzungwa
Poleh sanaHujapatwa na maambukizi ya Fungus ndiyomana ukasema maneno hayo.
Wengi wa Watu ambao hawajawahi kupata Fungus wanaishia kuwasimanga waliopata maambukizi ya Fungus kuwa ni Wachafu. Huu ni uongo na udhalilishaji! Fungus ni maambukizi kama maambukizi mengine, yakikukuta haijalishi kuwa wewe ni msafi au mchafu..
Any side effects?Kama unatatizo la Fangasi za Muda mrefu au Muda mfupi kwenye Nyeti zako (Corodani, Mapaja, na Jogoo) basi dawa yako ni hii [emoji116]....