Wadau kama mada inavosema, juzi nilienda hospital nkakutana na Dokta wa macho coz nna tatizo la kutokuona vzuri hasa mtu akiwa mbele yangu mita 50, baada ya dokta kuyachunguza macho yangu alinambia kuwa mishipa ya fahamu ya jicho langu ishahatibika na haiwezi kupona tena.Alinipa dawa ambazo zmeandikwa VITACAP kwenye box.Naomba kama kuna mtu anajua dawa mbadala ambazo zitaniwezesha nione vizur anisaidie, natanguliza shukran kwa madoctor na wadau wengine.