makondekoujiji
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 384
- 499
Poa mkuuMara moja kwa siku 30, kidonge kimojakimoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuuMara moja kwa siku 30, kidonge kimojakimoja
Ngoja tuwasikilize wataalamu humu watatushauri vp! Maana nikifikiria miwan roho inaumia, miwan nitatumia but itakuwa last optionHata Mimi niliambiwa nitumie vitamin B maisha yangu yote,natumia lakini hivi sasa naona tatizo linanitesa sn maana ....
Me nimeshatumia miwani sn tu mpaka nimeachaNgoja tuwasikilize wataalamu humu watatushauri vp! Maana nikifikiria miwan roho inaumia, miwan nitatumia but itakuwa last option
Vp miwan huwa inakusaidiaMe nimeshatumia miwani sn tu mpaka nimeacha
Mkuu nimeku txt ingia inbox yakoWadau kama mada inavosema, juzi nilienda hospital nkakutana na Dokta wa macho coz nna tatizo la kutokuona vzuri hasa mtu akiwa mbele yangu mita 50, baada ya dokta kuyachunguza macho yangu alinambia kuwa mishipa ya fahamu ya jicho langu ishahatibika na haiwezi kupona tena.Alinipa dawa ambazo zmeandikwa VITACAP kwenye box.Naomba kama kuna mtu anajua dawa mbadala ambazo zitaniwezesha nione vizur anisaidie, natanguliza shukran kwa madoctor na wadau wengine.
Poapoa mkuu nshakusomaMkuu nimeku txt ingia inbox yako
Nilitumia miwani pia nikaona upofu unaongezeka nikaacha kwa sasa ni kama nmezoea hali naona ndo kawaida huu ni kama mwaka wa12Me nimeshatumia miwani sn tu mpaka nimeacha