Tatizo la mafua kwa mtoto

Tatizo la mafua kwa mtoto

Sky kuna mahali nilisoma kuwa mtoto wa chini ya mwaka mmoja hapaswi kula samaki, je ni kweli?
Kuna vyakula ambavyoi vina negative effects kwenye mucus membrane. Vyakula hivi ni kama nyama nyekundu, siagi, maziwa, cheese, mayai, ice cream, yoghurt na mikate.

Mpe mtoto matunda, mboga za majani, vyakula jamii ya maharage na jamii ya njugu kama karanga na korosho pamoja na maji ya kunywa plain.
 
Kuna vyakula ambavyoi vina negative effects kwenye mucus membrane. Vyakula hivi ni kama nyama nyekundu, siagi, maziwa, cheese, mayai, ice cream, yoghurt na mikate.

Mpe mtoto matunda, mboga za majani, vyakula jamii ya maharage na jamii ya njugu kama karanga na korosho pamoja na maji ya kunywa plain.
Uko vizuri sana mimi tokea utotoni mafua yalikuwa hayakati nikaambiwa nikae mbali na vyakula ulivyoorodhesha pamoja na nyanya ya kupikia mboga , ila nikijaribu kugusa kimoja wapo mafua yananipata wakati huo huo ni shida kuviepuka ila inabidi tu
 
Uko vizuri sana mimi tokea utotoni mafua yalikuwa hayakati nikaambiwa nikae mbali na vyakula ulivyoorodhesha pamoja na nyanya ya kupikia mboga , ila nikijaribu kugusa kimoja wapo mafua yananipata wakati huo huo ni shida kuviepuka ila inabidi tu
Mara nyingi wali maharage ugali mchicha, kisamvu is the best
 
Wadau wamenena.

1. Aina ya chakula kama alivyoainisha Sky.

2. Hakikisha chumba ni kisafi na Vumbi linafutwa kila siku.

3. Hakikisha hutumii sabuni yenye manukato makali kumwogesha Mtoto.

4. Hakikisha sabuni ya unga haina harufu kali, na hata Kama ina harufu kali, hakikisha nguo za Mtoto zinasuuzwa na maji ya kutosha kuondoa harufu ya sabuni.

5. Hakikisha Mafuta unayompaka Mtoto hayana fragnance.

Kuna tofauti ya mafua na kikohozi. Kama Mtoto ana mafua na hakohoi, basi hakikisha unazibua pua zake kwa kutumia mucus sucker au mwekee matone ya normal saline kwenye kila pua.
 
Back
Top Bottom