Tatizo la mafua lisiloisha

some how true mana alikunywa then wakamcheluisha but alicheua pitia mdomo au pua hapo sijuwi but sure alikunywa na kucheua, suluhisho ni nini mkuu
Watoto wengi huwa naona wakikua kiumri inawaachia hyo hali sidhani kama kuna dawa yake labda mjaribu kwenda hospital
 
Aende hospitali wamfanyie upasuaji wa pua atapona kabisa
 
maswali yote hayo atayajibu daktari hospitalini tu humu hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…