Asante Sana.... Ntalifanyia kaziTatizo hilo linasababishwa na ngozi ya kisigino kuwa kavu na hilo linaweza pia kuwa linachangiwa zaidi kama unatumia viatu vya wazi kwa mda mrefu kwahio inakuwa rahisi upepo na vumbi kuifanya ngozi ya miguuni kuwa kavu:
Cha kufanya:
Kila Siku kabla ya kulala Chukua maji ya vuguvugu changanya na Chumvi au Limau kisha loweka miguu yako humo kwa dakika 20 huku ukisugua miguu yako kwa jiwe laini.
Baada ya kumaliza paka mafuta ya Nazi miguuni yakolee vizuri kisha vaa soksi ulale nazo.
Kama unaweza kwa kipindi hiki cha tiba vaa viatu vya kufunika ila kulinda visigino na ukavu na vumbi mpaka magaga yatakapoisha.
Kama hutaweza basi jitahidi pia asubuhi upake mafuta ya kutosha kwa ajili ya kuifanya ngozi isiwe kavu.
Fanya zoezi hilo kwa uaminifu mpaka magaga yatakapoisha.
PoaAsante Sana.... Ntalifanyia kazi
Habarini,
Nimekua nikisumbuliwa na magaga kwa.muda Sasa..nimesugua na msasa wapi ..nikasugua na jiwe Bado Hali ni.ileile.
Kuna muda yanauma kabisa especially nikishasugua na jiwe.
Je Kuna Dawa inaweza nisaidia hili Tatizo.
Wassalam
Ooooh.... Sasa nmeanza kuelewa tatizo ni nini. Nlikuwa najiuliza....kwa hali hii ni kabisa ulichosema. Na hayo huw ubongo...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Magaga na ubongo kumbe Kuna uhusiano?... Aiseeee Sio Tatizo lako ni matatizo yako ya Akili.Ooooh.... Sasa nmeanza kuelewa tatizo ni nini. Nlikuwa najiuliza....kwa hali hii ni sawa kabisa ulichosema. Na hayo huwa yanakuwa hadi kwenye ubongo...
Thanks...Japo ninatarajia kununua Feet cream...nione itakuwajePendelea kuvaa viatu vya kufunika ikibidi acha open shoes kbs hadi uwe sawa
Usiku oga paka lotion kwenye visigino afulala na socks
Msasa usitumie kupitiliza
Ni ishu nyepesi sana
Haaha wewe kunakitu unakitafutaOoooh.... Sasa nmeanza kuelewa tatizo ni nini. Nlikuwa najiuliza....kwa hali hii ni sawa kabisa ulichosema. Na hayo huwa yanakuwa hadi kwenye ubongo...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...nikileta yote yanayonisibu humu...Basi mtakuwa mnani quote TU..hayo Ni machache...Tu kati ya yanayoniandama...ila Magaga yamenpona...asanteDuuh!! Pole mleta uzi mana nimeona uzi mungine tena unalalamikia tumbo lako kwamba ni kubwa na unahitaji namna ya kulipunguza.
Kila la kheri katika kuyapatia ufumbuzi.
Mkuu...na magaga yangu na tumbo langu...natongozwa viZuri TU...CreditAnalyst,kitambi wewe,magaga wewe?, Pole sana aisee.Mimi nahisi mbinu za kukwepa mtongozo
Jengine lipi..? Kama ni lakuonekana nionyeshe..😉😅[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...nikileta yote yanayonisibu humu...Basi mtakuwa mnani quote TU..hayo Ni machache...Tu kati ya yanayoniandama...ila Magaga yamenpona...asante