Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Habarini,
Nimekua nikisumbuliwa na magaga kwa.muda Sasa..nimesugua na msasa wapi ..nikasugua na jiwe Bado Hali ni.ileile.
Kuna muda yanauma kabisa especially nikishasugua na jiwe.
Je Kuna Dawa inaweza nisaidia hili Tatizo.
Wassalam
Mrejesho
..Nilinunua footcream ambayo imesaidia kutibu Magaga kwa asilimia kuubwa Sana.
Asante
Nimekua nikisumbuliwa na magaga kwa.muda Sasa..nimesugua na msasa wapi ..nikasugua na jiwe Bado Hali ni.ileile.
Kuna muda yanauma kabisa especially nikishasugua na jiwe.
Je Kuna Dawa inaweza nisaidia hili Tatizo.
Wassalam
Mrejesho
..Nilinunua footcream ambayo imesaidia kutibu Magaga kwa asilimia kuubwa Sana.
Asante