Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha punyeto
TrueNgoja nikutoe matongo
98% ya wanaume wanaotoa small volume of semen huwa wanakuwa na high sperm quality ukilinganisha na wanaume wanaotoa large volume of semen.
Tuje kwenye suala la mimba
Usifikiri kwamba mimba ili itungwe inahitaji volume kubwa ya semen. Sperm moja tu ikiwa na quality (hasa high speed of motility na shape) 99.9% mwanamke lazima ashike mimba
Tatizo ni kama hauna kabisa sperm kwenye semen hapo ndipo mwanamke hawezi kupata mimba
TRUST ME.
avatar yako pekee inadhihirisha usahihi wa ushauri wako.....ahsanteNgoja nikutoe matongo
98% ya wanaume wanaotoa small volume of semen huwa wanakuwa na high sperm quality ukilinganisha na wanaume wanaotoa large volume of semen.
Tuje kwenye suala la mimba
Usifikiri kwamba mimba ili itungwe inahitaji volume kubwa ya semen. Sperm moja tu ikiwa na quality (hasa high speed of motility na shape) 99.9% mwanamke lazima ashike mimba
Tatizo ni kama hauna kabisa sperm kwenye semen hapo ndipo mwanamke hawezi kupata mimba
TRUST ME.
Mkuu uchache huo kivipi yani?
Hayajai kwenye kijiko?
Au uchache huo ulilinganisha na yepi?
Au zamani ulikuwa unazo nyingi mkuu saiv zimepungua?
Hii ndo factNgoja nikutoe matongo
98% ya wanaume wanaotoa small volume of semen huwa wanakuwa na high sperm quality ukilinganisha na wanaume wanaotoa large volume of semen.
Tuje kwenye suala la mimba
Usifikiri kwamba mimba ili itungwe inahitaji volume kubwa ya semen. Sperm moja tu ikiwa na quality (hasa high speed of motility na shape) 99.9% mwanamke lazima ashike mimba
Tatizo ni kama hauna kabisa sperm kwenye semen hapo ndipo mwanamke hawezi kupata mimba
TRUST ME.
Mwanaume rijali lazima apitie iyo kitusitumiagi iyo kitu
Kwakutumia kondom anaweza onaUmeonaje hiyo kiwango kama haujapiga PULI? Maana hauwezi kuona amount kama ikiwa ndani ya kwa bibi au wakati wa kupizi ulitoa Dushe ili kuona amount?
Basi sawa.Kwakutumia kondom anaweza ona
nenda hospital ongea na docter, watakushauri ufanye kipimo (semen analysis) na testosteron level. hii hormone ikiwa low lazima utakua unazalisha volume ndogo sana ya sperm. low sperm volume saa zingine inasababishwa na uvutaji wa sigara (chain smocking) ulevi hasa wa pombe kali, pia epuka kuvaa nguo za ndani zinazobana, fanya zoezi na la msingi sana kula sana chakula ambacho ni balanced diet na ufanye mazoezi kiasi. kula sana vyakula vyenye madini ya zinc kubust testosterone production