Baba Kenzo
JF-Expert Member
- Sep 16, 2017
- 224
- 149
mkuu umemwona mgonjwa mwenyewe? ume- confirm anachoumwa ni nini? umri wake je? medical history yake?Kuto tibiwa vichomi kwa muda mrefu,kutumia air condition kwenye magari kwa muda mrefu,kuendesha pikipiki kifua wazi ,TB nayo inachangia sana .mkuu cha kufanya nenda hosp wakafanye yafuatayo.underwater seal drainage au thoracentesis pia dawa hizi hapa utatumia utapona tablet Lasix 40mg od 1/12,tabs spironolatone 50mg od 1/12,tabs predinisolone 20mg bid 5/7, 15mg bid 5/7, 10mg bid 5/7 , 5mg bid 5/7, 5mg od 5/7 .ukifanya hivo utapona tuu Nina miifano mitano na watu wamepona
kama wewe sio muathirika basi usiwe na shaka, we kunywa maji kadri uwezavyo wala haina shida.Habari wadau wa mijadala !!!
Ninajambo la kiafya linanitatiza sana japo mie si muathirika wa jambo hilo.
Tatizo la mapafu kujaaa maji linasababishwa na nn?? Au ndo unywaji maji kupita kiasi?? Na nikiwango gani cha maji yanaitajika kwa siku mwilini yaani binadamu anashauriwa kunywa kiasi gani kwa siku???
Habari wadau wa mijadala !!!
Ninajambo la kiafya linanitatiza sana japo mie si muathirika wa jambo hilo.
Tatizo la mapafu kujaaa maji linasababishwa na nn?? Au ndo unywaji maji kupita kiasi?? Na nikiwango gani cha maji yanaitajika kwa siku mwilini yaani binadamu anashauriwa kunywa kiasi gani kwa siku???
Wrong! wrong! wrong! wrong .... !! Sio rahisi hivyo , huwezi kutibu hivyo bila kujja chanzoKuto tibiwa vichomi kwa muda mrefu,kutumia air condition kwenye magari kwa muda mrefu,kuendesha pikipiki kifua wazi ,TB nayo inachangia sana .mkuu cha kufanya nenda hosp wakafanye yafuatayo.underwater seal drainage au thoracentesis pia dawa hizi hapa utatumia utapona tablet Lasix 40mg od 1/12,tabs spironolatone 50mg od 1/12,tabs predinisolone 20mg bid 5/7, 15mg bid 5/7, 10mg bid 5/7 , 5mg bid 5/7, 5mg od 5/7 .ukifanya hivo utapona tuu Nina miifano mitano na watu wamepona