Baba Kenzo
JF-Expert Member
- Sep 16, 2017
- 224
- 149
Habari wadau wa mijadala !!!
Ninajambo la kiafya linanitatiza sana japo mie si muathirika wa jambo hilo.
Tatizo la mapafu kujaaa maji linasababishwa na nn?? Au ndo unywaji maji kupita kiasi?? Na nikiwango gani cha maji yanaitajika kwa siku mwilini yaani binadamu anashauriwa kunywa kiasi gani kwa siku???
Ninajambo la kiafya linanitatiza sana japo mie si muathirika wa jambo hilo.
Tatizo la mapafu kujaaa maji linasababishwa na nn?? Au ndo unywaji maji kupita kiasi?? Na nikiwango gani cha maji yanaitajika kwa siku mwilini yaani binadamu anashauriwa kunywa kiasi gani kwa siku???