BARIADI-KWETU
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 173
- 39
It may be Galactorrhea, sema hii ni maziwa sio maji.
Basi kawaida why ubinye? me nikajua Maji yanatoka menyewe automatically
Sio kawaida sbb wasichana wengine hawana hii kitu.
Hosp. walisema nini kinasababisha??
Walisema kunahomon flani zimezidi kiwango, wakanipa dawa nikatumia lakini hazikunisaidia
Hormone gani? Prolactin?
Majimaji yanarangi gani?