Tatizo la matiti kutoa maji maji

Tatizo la matiti kutoa maji maji

Naomba msaada wa mawazo jaman, mwenzenu ninatatizo la kutokwa na majimaji kwenye matiti, tatizo hili linatakriban miaka mitatu na lilianza baada ya mimba kuharibika.

Nimeenda hospitali na kupewa dawa mbalimbali lakini hakuna.




 
Back
Top Bottom