Tatizo la maumivu ya kende(Teste)

Ivi watanzania uwezo wetu wa kufikiri umefikia apa??
Yan maelezo yako haujamuona ata Dr then unakuja kuomba ushaur!!
Aya ukiambiwa una kansa za pumb.u utawalaumu watu, maana tunatoa majbu kwa vipimo vya mwandiko wako


Fanya ukamuone Dr, punguza zinaa zisizo na tija
 
mkuu tatizo limehamia kwako tena? kuna ule uzi wa kwanza umesema ni rafiki yako
 
Punguza nyeto kijana utakuja kufa kabla ya wakati,umezoea punyeto mpaka ukiona sabuni unadinda alafu unashangaa mapumbu kuuma?
 


Eti tatizo limetokana na nini wakati pumbu ni zako? Kwani hizo pumbu zimebandikwa barabara gani ili tukazione tuzijadili? Ukiona vipi, nenda kamuone daktari akunyonye akupunguzie maumivu.
 
Mh labda useme tu ulikuwa unaandamana ndo wakakubinya mapumb
 
Kama na tumbo pia linanguruma basi hiyo ni Ngiri (chango ya kiume)
 
Nenda hospitali, inaweza kuwa dislocation au tatizo lingine linaloweza kupelekea maambukizi kusambaa zaidi.
 
Mwambie aache kula tigo huo mchezo nao ndo husababisha
 
Mwezi mzima anahisi maumivu yupo nyumbani tu ??
Tatizo mshaigeuza JF kuwa hospital na vituo vya afya ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…