Tatizo la maumivu ya kende(Teste)

Tatizo la maumivu ya kende(Teste)

Ivi watanzania uwezo wetu wa kufikiri umefikia apa??
Yan maelezo yako haujamuona ata Dr then unakuja kuomba ushaur!!
Aya ukiambiwa una kansa za pumb.u utawalaumu watu, maana tunatoa majbu kwa vipimo vya mwandiko wako


Fanya ukamuone Dr, punguza zinaa zisizo na tija
 
habari wana JF

Jamani mimi nina tatizo hapa la kujihisi napata maumivu kwenye sehemu za Kende(testes) yapita mwezi mmoja nina Tatizo hili na pia sasaivi nimekuwa hana ashiki sina sana ya mapenzi kama Awali..je Tatizo hili limetokana na nini nimeamua nilifikishe kwa wa Jf wenzangu???
mkuu tatizo limehamia kwako tena? kuna ule uzi wa kwanza umesema ni rafiki yako
 
Punguza nyeto kijana utakuja kufa kabla ya wakati,umezoea punyeto mpaka ukiona sabuni unadinda alafu unashangaa mapumbu kuuma?
 
habari wana JF

Jamani mimi nina tatizo hapa la kujihisi napata maumivu kwenye sehemu za Kende(testes) yapita mwezi mmoja nina Tatizo hili na pia sasaivi nimekuwa hana ashiki sina sana ya mapenzi kama Awali..je Tatizo hili limetokana na nini nimeamua nilifikishe kwa wa Jf wenzangu???


Eti tatizo limetokana na nini wakati pumbu ni zako? Kwani hizo pumbu zimebandikwa barabara gani ili tukazione tuzijadili? Ukiona vipi, nenda kamuone daktari akunyonye akupunguzie maumivu.
 
habari wana JF

Jamani mimi nina tatizo hapa la kujihisi napata maumivu kwenye sehemu za Kende(testes) yapita mwezi mmoja nina Tatizo hili na pia sasaivi nimekuwa hana ashiki sina sana ya mapenzi kama Awali..je Tatizo hili limetokana na nini nimeamua nilifikishe kwa wa Jf wenzangu???
Mh labda useme tu ulikuwa unaandamana ndo wakakubinya mapumb
 
Kama na tumbo pia linanguruma basi hiyo ni Ngiri (chango ya kiume)
 
Nenda hospitali, inaweza kuwa dislocation au tatizo lingine linaloweza kupelekea maambukizi kusambaa zaidi.
 
habari wana JF

Nina rafiki yangu hapa anatatizo hili la kujihisi anapata maumivu kwenye sehemu za Kende(testes) yapita mwezi mmoja ana Tatizo hili na pia sasaivi Amekuwa hana ashi sana ya mapenzi kama Awali..je Tatizo hili limetokana na nini nimeamua nilifikishe kwa wa Jf wenzangu???
Mwambie aache kula tigo huo mchezo nao ndo husababisha
 
Mwezi mzima anahisi maumivu yupo nyumbani tu ??
Tatizo mshaigeuza JF kuwa hospital na vituo vya afya ?
 
Back
Top Bottom