Tatizo la maumivu ya moyo

Tatizo la maumivu ya moyo

mwafa

Senior Member
Joined
Mar 9, 2017
Posts
116
Reaction score
33
wadau habari za muda huu..... Mwenye kufahamu hili naomba anisaidie, MWANZONI NLIKUA NA MAUMIVU KWENYE MOYO, YANI YALIKUA YANAKUJA KAMA KICHOMI NA KUONDOKA.....lakini hali hii ikaisha .ILA SASA HIVI IMERUDI KIVINGINE KABISA YANI TANGU JANA USIKU NASIKIA MOYO UNAUMA BILA KUACHA, HII HALI KIUKWELI INANITESA SANA, NIPO KIJIJINI NA LEO ASUBUHI NIMEENDA ZAHANATI NKAPEWA DAWA ILA HAZIJAONESHA MAFANIKIO .............NAOMBENI MSAADA TAFADHALI
 
wadau habari za muda huu..... Mwenye kufahamu hili naomba anisaidie, MWANZONI NLIKUA NA MAUMIVU KWENYE MOYO, YANI YALIKUA YANAKUJA KAMA KICHOMI NA KUONDOKA.....lakini hali hii ikaisha .ILA SASA HIVI IMERUDI KIVINGINE KABISA YANI TANGU JANA USIKU NASIKIA MOYO UNAUMA BILA KUACHA, HII HALI KIUKWELI INANITESA SANA, NIPO KIJIJINI NA LEO ASUBUHI NIMEENDA ZAHANATI NKAPEWA DAWA ILA HAZIJAONESHA MAFANIKIO .............NAOMBENI MSAADA TAFADHALI
Wamekupima au wamekupa dawa tuu??[emoji17] [emoji17]
 
Hawana vipimo...wametumia nadharia tu kunipa dawa
 
nam hua na experience that thng....nasubir wajuzi wamambo wanifafanulie
 
Pole sana!!! Kama una mwili mkubwa itakua ndo chanzo. Ila ni vizuri ukaenda hospitali kubwa upate msaada. Moyo kitu kingine mkuu!
Pole tena
 
... Kuna kitu wataalam wanaita Angina kama sikosei, hata uki Google kwenye simu yako kama ni smart phone, utapata maelezo but ni heart pain inayoweza kusababisha stroke...
 
Mwili wangu mdogo sana....sijafika kilo 57
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
... Kuna kitu wataalam wanaita Angina kama sikosei, hata uki Google kwenye simu yako kama ni smart phone, utapata maelezo but ni heart pain inayoweza kusababisha stroke...
NI YENYEWE MKUU......shukran kwa msaada
 
Back
Top Bottom