VALENCE MUGANDA
Member
- Dec 1, 2012
- 53
- 2
jamaani mba kichwani zina nisumbua nifanye je?mim wakiume wala sipaki mafuta yoyote kichwani zaidi ya babycare
Nyoa nywele zote then nunua shampoo iitwayo candid TV uoshe nywele zako kwa kuitumia wakati huo meza dawa iitwayo Griseofulvin tabs 500mg umeze kidonge kimoja daily kwa siku 30 ila dosage yaweza kudouble kulingana na usugu wa tatizo.