VALENCE MUGANDA
Member
- Dec 1, 2012
- 53
- 2
jamaani mba kichwani zina nisumbua nifanye je?mim wakiume wala sipaki mafuta yoyote kichwani zaidi ya babycare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaani mba kichwani zina nisumbua nifanye je?mim wakiume wala sipaki mafuta yoyote kichwani zaidi ya babycare
Nyoa nywele zote then nunua shampoo iitwayo candid TV uoshe nywele zako kwa kuitumia wakati huo meza dawa iitwayo Griseofulvin tabs 500mg umeze kidonge kimoja daily kwa siku 30 ila dosage yaweza kudouble kulingana na usugu wa tatizo.