Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Nimekuelewa mkuu
 
Mtoto Mdogo sana kuwa na Matatizo Hayo, nakushauri kamuone Specialist
Inategemea na lifestyle anayoishi pamoja na family history. Kama ni overweight or obese, hachagui cha kukila, hafanyi mazoezi anaweza kupata hayo matatizo tena hata mapema zaidi na ikiwa matatizo hayo yapo kwenye familia ndio kabisaa.
 
Na mm nina hilo tatzo sahv lina miez 6 wakat mwingne ucku huwa naishiwa nguvu mikono inalegea nmepma sukar, presha, wing wa damu vyote vko sawa mpak sahv cjapata tba ukpata naomba nijulishe na mm maana nshajikatia tamaa
 
Na mm nina hilo tatzo sahv lina miez 6 wakat mwingne ucku huwa naishiwa nguvu mikono inalegea nmepma sukar, presha, wing wa damu vyote vko sawa mpak sahv cjapata tba ukpata naomba nijulishe na mm maana nshajikatia tamaa
Una tatizo la mishipa ya fahamu vegetative nerve system jitahidi kula vyakula vyenye vitaminB kwa wingi na inabidi upate na vidonge vya vitamin B complex au vitamin B12 au kuna moja inaitwa Malgamma compositum utumie vitakusaidia ukishindwa dawa zozote tu za vitamin b jarib
 
Mim tatizo langu miguu inavimba kama mtu aliyekaa kwa muda mrefu bila kunyanyuka na vidole vya mikono navyo hujaa na kufa ganzi ila tatizo hili hutoweka pindi nikilala kwa muda mrefu.

Tatizo lilianza nilipougua Thyphod nikiwa mdogo mwaka 2000, msaada please.
 
Miguu inakufa ganzi inakua na ubaridi na ganzi kwenye mikono msaada tafadhari
 
Hivi huu uzi ndio umekosa madaktari wa kutusaidia haya matatizo kweli?
 
Naombeni msaada wa diagnosis na treatment kwa mwanamke wa miaka 24 ambaye miguu yake inawaka moto..
Muda mwingine inavimba..
 
Jaribu hii, mtu wa m biriti unaifahamu ?

Tuanzie hapo Kama huu fahamu haina haja ya kuendelea hapa, na Kama waifahamu, kachimbe mizizi yake, kisha ioshe hiyo mizizi, kisha ichune magamba yake, kisha Yale magamba yaloweke katika beseni kwa muda wa masaa mawili, kisha huyo mgonjwa atumbukize miguu yake ktk beseni lililo na hiyo mizizi iliyolowekwa kwa muda wa lisaa...hii ni tiba
 
Asante sana mkuu
 

Tafuta specialist Endocrinologist,hematologist watakupa ushauri mzuri zaidi inawezekana ulipata shida nyingine kutoka kwenye dawa ulizotumia au hiyo typhoid yenyewe
 
Tatizo lako linaitwa peripheral neuropathy linatokana na mishipa ya nerves kushindwa kufanya kazi vizuri so dawa zake ni gabapentine 300mg kidonge kimoja kwa siku mwezi mzima au unaweza tumia pregabalin 75mg na yenyewe dozi mwezi mzima kumbuka maumivu hayaishi siku moja ni mwendo wa taratibu mpaka yanakwisha otherwise inatakiwa upime sukari na pressure yako ujue zipoje lakini dawa za huo ugonjwa ndo hizo
 
Pafu langu la kushoto lilijaa maji ikawa napumua kwa tabu, yakatolewa nikalazmika kufanya vipimo ile ijulikane sbb n nn, cha kwanza ilikua n TB nikagundulika ninayo tb ya nje ya mapafu.

Haina ubish mtu mwenye tb hukisiwa kua na HIV nikatakiwa kupima, Nikakubali sbb nilikua najiamini Japo joto lilipanda kdg pale ndani. Majibu ni Negative.

Nikaaza kutumia Dozi ya Tb ila sasa nahisi miguu yangu inauma kweny magoti japo si kwa sana na si mda wote, ila n bora kuwahi, mda mwingne si kuuma Bali ni kukosa nguvu nikipanda ngazi au mlima, ulianza mguu wa kushoto kwenye paja asaiv ni kwenye joint za magoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…