Tatizo la mita ya umeme na rimoti kutokuwa na mawasiliano (LUKU)

Tatizo la mita ya umeme na rimoti kutokuwa na mawasiliano (LUKU)

George Betram

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
4,672
Reaction score
6,272
Aina ya mita ninayotumia ni EDMI, HD21. Meter number inaanzia 4302.

Hakuna mawasiliano kati ya mita na rimoti ya kuingizia umeme, rimoti inaload bila kuleta taarifa za mita, hivyo hata umeme inashindikana kuingiza.

Tatizo ni nini? Tumelala na giza jana usiku, msaada tafadhari.

TANESCO
 
0748550000 kila kitu utapata humo! Piga namba hiyo chap!
 
Aina ya mita ninayotumia ni EDMI, HD21. Meter number inaanzia 4302.

Hakuna mawasiliano kati ya mita na rimoti ya kuingizia umeme, rimoti inaload bila kuleta taarifa za mita, hivyo hata umeme inashindikana kuingiza.

Tatizo ni nini? Tumelala na giza jana usiku, msaada tafadhari.

TANESCO
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
Mimi huu ni mwaka wa pili toka nime report tatizo langu kama hili. Tena nilifika mpaka ofisin physically. Nilipewa reference namba ya tatizo langu wakadai watatuma mafundi. Mafundi walikuja baafa ya siku tatu lakini hawakuwa na Suluhisho lolote. Wakaniwekea umeme kwa kupitia meter yenyewe. Wakadai waatarudi kushughulikia tatizo. Ila mpaka leo hawajaja na huu ni mwaka wa pili sasa. So umeme ukiisha naweka kupitia meter ambapo si sawa na ni hatari sana. Kama sipo basi wanalala giza.
 
Jina: George

Eneo: Zogowale

Wilaya: Kibaha

Namba ya simu: 0734084606

Tatizo: Hakuna mawasiliano kati ya mita na rimoti ya kuingizia umeme, rimoti inaload bila kuleta taarifa za mita, hivyo hata umeme inashindikana kuingiza.

Toka lini: Toka jana (Tarehe 9, Machi)

Namba ya taarifa: 1694
 
Mimi hu ni mwaka wa pili toka nime report tatizo langu kama hili. Tena nilifika mpaka ofisin physically. Nilipewa reference namba ya tatizo langu wakadai watatuma mafundi. Mafundi walikuja baafa ya siku tatu lakini hawakuwa na Suluhisho lolote. Wakaniwekea umeme kwa kupitia meter yenyewe. Wakadai waatarudi kushughulikia tatizo. Ila mpaka leo hawajaja na huu ni mwaka wa pili sasa. So umeme ukiisha naweka kupitia meter ambapo si sawa na ni hatari sana. Kama sipo basi wanalala giza.
Mmmmh, jamaa hatari!
 
Back
Top Bottom