wangewange
Senior Member
- Oct 4, 2013
- 189
- 43
Habari wanajamii
Kuna tatizo limemkuta dada yetu yuko mwaka wa pili anasoma pharmacy ...wakat anaingia mwaka wa pili semister ya kwanza jina lake halikuja katika loan so hakupata na alivofatilia kwa loan officer wa chuo ni kila siku ahad mpk sasa semister omeanza nyingine hakijaeleweka naomben ushaur wenu juu ya tatzo hli.
Shukrani
Kuna tatizo limemkuta dada yetu yuko mwaka wa pili anasoma pharmacy ...wakat anaingia mwaka wa pili semister ya kwanza jina lake halikuja katika loan so hakupata na alivofatilia kwa loan officer wa chuo ni kila siku ahad mpk sasa semister omeanza nyingine hakijaeleweka naomben ushaur wenu juu ya tatzo hli.
Shukrani