kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Habari wakuu
Nina matumaini nyie wazima naombeni msaada kwa hili nina ndugu yangu akaifuata akiomba ushauri
Kuwa amepata mwanamke anayetarajia kumuoa lakini huyu binti ana tatizo la moyo kila mwezi anafuata hospital dawa za moyo ,na haipiti wiki 2 anaumwa,kaniuliza je akimuoa si atajikuta anatumia muda mwingi kumtibu na vp akibeba mimba kuna risks zozote
Nina matumaini nyie wazima naombeni msaada kwa hili nina ndugu yangu akaifuata akiomba ushauri
Kuwa amepata mwanamke anayetarajia kumuoa lakini huyu binti ana tatizo la moyo kila mwezi anafuata hospital dawa za moyo ,na haipiti wiki 2 anaumwa,kaniuliza je akimuoa si atajikuta anatumia muda mwingi kumtibu na vp akibeba mimba kuna risks zozote