mmbangaya
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 997
- 1,765
Salam Jf!
Naomba msaada wa tatizo nililonalo ambalo naona siku zinavyozidi kwenda linaongezeka sana.
Huwa nikilala usiku nikishtuka usingizini nakuta mapigo ya moyo yanaenda kasi sana. Hadi muda mwingine nakuwa kama nataka kushindwa kupumua.
Naomba msaada kwa wataalamu wa Afya tafadhali
Naomba msaada wa tatizo nililonalo ambalo naona siku zinavyozidi kwenda linaongezeka sana.
Huwa nikilala usiku nikishtuka usingizini nakuta mapigo ya moyo yanaenda kasi sana. Hadi muda mwingine nakuwa kama nataka kushindwa kupumua.
Naomba msaada kwa wataalamu wa Afya tafadhali