Tatizo la moyo kwenda kasi sana usiku nikilala

Tatizo la moyo kwenda kasi sana usiku nikilala

mmbangaya

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2015
Posts
997
Reaction score
1,765
Salam Jf!
Naomba msaada wa tatizo nililonalo ambalo naona siku zinavyozidi kwenda linaongezeka sana.
Huwa nikilala usiku nikishtuka usingizini nakuta mapigo ya moyo yanaenda kasi sana. Hadi muda mwingine nakuwa kama nataka kushindwa kupumua.
Naomba msaada kwa wataalamu wa Afya tafadhali
 
Ufunge spidi gavana mkuu.

I am only joking mkuu.

Nenda hospitali kiongozi uonane na dokta utapata ufumbuzi.

Fanya fasta moyo sio kitu ya mchezo mkuu.
 
kacheki sukari mkuu

Salam Jf!
Naomba msaada wa tatizo nililonalo ambalo naona siku zinavyozidi kwenda linaongezeka sana.
Huwa nikilala usiku nikishtuka usingizini nakuta mapigo ya moyo yanaenda kasi sana. Hadi muda mwingine nakuwa kama nataka kushindwa kupumua.
Naomba msaada kwa wataalamu wa Afya tafadhali
 
Nasubiri majibu,mimi tatizo hili limenianza sasa wiki ya pili,nikiamuka moyo unaenda kasi sana,wataalamu watusaidie jamani
 
Jichunguze mwenyewe kwanza kwa sababu unasema ni kila unaposhtuka usiku. Yawezekana unapataga manjozi mabaya ka ni hivyo, hayo tunayaitaga kuwa ni mapepo. Hospitali watakupima kila kitu, hakuna ugonjwa.
Nenda kwenye kanisa la kiroho, mwone mchungaji, atayakemea nayo yatakutoka. Utapata usingizi mzuri bila kushtuka usiku. Nimekupa tu ushauri
 
Jichunguze mwenyewe kwanza kwa sababu unasema ni kila unaposhtuka usiku. Yawezekana unapataga manjozi mabaya ka ni hivyo, hayo tunayaitaga kuwa ni mapepo. Hospitali watakupima kila kitu, hakuna ugonjwa.
Nenda kwenye kanisa la kiroho, mwone mchungaji, atayakemea nayo yatakutoka. Utapata usingizi mzuri bila kushtuka usiku. Nimekupa tu ushauri

Teh! simple answers to difficult questions,ok thanks
 
Swali la muhimu. Unalala kwenye nyumba au stoo??
 
Hakika chumba ninacholala ni kifinyu sana,nimepanga vyombo humo humo na kila kitu changu,kwani vipi?

Hapo ndiyo pakuanzia sasa. Tafuta chumba kikubwa au punguza vitu ubakiwe na vichache tu ndani ili upate hewa ya kutosha. Hapo ni unalala stoo. Ndiyo maana unapata shida zote hizo. Unavuta hela finyu mbaya na chafu.
 
Hapo ndiyo pakuanzia sasa. Tafuta chumba kikubwa au punguza vitu ubakiwe na vichache tu ndani ili upate hewa ya kutosha. Hapo ni unalala stoo. Ndiyo maana unapata shida zote hizo. Unavuta hela finyu mbaya na chafu.

Asante mkuu,ngoja leo nijaribu lala mlango wazi kesho nitaleta mrejesho
 
Back
Top Bottom