Wadau habari ya sahivi! kuna mtoto wa jirani yangu kanasoma chekechea shida ya huyu mtoto ni kujikojolea yani akiwa amekaa tu mkojo unatoka wenyewe inafika kipindi hadi walimu wanampigia simu mzazi aje amchukue mtoto shule sababu hiyo, na ameenda hospital wamemwambia kwamba kuna vitu sijui vimelegea kwa maelezo alivyoniambia yeye sijui wanasema U.T.I ilimla sana ikaharibu mishipa! je kuna dawa yoyote jamani anaweza akatumia? au kuna njia gani nyingine kama ni oparesheni au nini kwa ajili ya kumasaidaia. msaada wenu madokta please