Aisee ishu kama hii ilishawahi tokea kwa mtoto wangu,nlipomueleza rafiki yangu kama utani akaniambia nitafute Bangi kidogo niwe nawasha chumbani usiku.Huwezi amini kile kilio cha mtoto kila siku usiku kilikata.
Jaribu hilo zoezi kama hotojali!
Kaka unaweza kuwa sahihi lakini scream yake inakuwa bala mpaka nashindana naye ila muda nikimpiga mambo ya mungu anabielewa na kunisikiliza wnakumbatia bibilia na tunaendele kumtukuza mungu