Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Wakuu naomba mnisaidie kila ifikapo saa nane usiku mwanangu wa kiume wa miaka saba anapiga kelele sana kama kuna mtu anayemvamia.
Naomba mwenye msaada wa nini kisababishishi anisaidie. Ili kulituliza inabidi nimuombe akumbatie biblia.
Inanitesa sana.
Naomba mwenye msaada wa nini kisababishishi anisaidie. Ili kulituliza inabidi nimuombe akumbatie biblia.
Inanitesa sana.