ChaterMaster JF-Expert Member Joined Aug 17, 2009 Posts 1,623 Reaction score 803 Mar 23, 2015 #1 Wakuu wasalaam, Tafadhali naombeni kujuzwa sababu inayopelekea tatizo la mtoto kuzalia akapatwa na shda ya kupumua vyema na kulazimu kuwekewa oxygen haraka ili kumsaidia kupumua. Na je solution yake huwa ni nini. Thanks
Wakuu wasalaam, Tafadhali naombeni kujuzwa sababu inayopelekea tatizo la mtoto kuzalia akapatwa na shda ya kupumua vyema na kulazimu kuwekewa oxygen haraka ili kumsaidia kupumua. Na je solution yake huwa ni nini. Thanks
MissM4C JF-Expert Member Joined Aug 31, 2012 Posts 1,740 Reaction score 1,005 Mar 25, 2015 #2 Njooo wasapu